MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST
POST DETAILS
POST MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 6 POST
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema
APPLICATION TIMELINE: 2025-07-29 2025-08-11
JOB SUMMARY N/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
Kupokea majalada kwa Watendaji (action officers)
Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)
QUALIFICATION AND EXPERIENCE
Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Masjala kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.
REMUNERATION TGS C
Read Also:
- Nafasi za kazi Tanzania – DEREVA DARAJA II – 3 POST at Sengerema District Council – July 2025
- Nafasi za kazi Tanzania – MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 5 POST at Sengerema District Council – July 2025
- Nafasi za kazi Tanzania – COMMUNITY DEVELOPMENT ASSISTANT GRADE II – 2 POST at Sengerema District Council – July 2025